![UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA](https://www.muslim-library.com/wp-content/uploads/2018/12/UJUMBE-WA-UISLAMU-KWA-ULIMWENGU-MZIMA.jpg)
- Abdul Rahman bin Abdul Karim Sheihah
- islamhouse.com
- 2012
- 196
- 6921
- 3450
- 2162
UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA
Shukurani zote zinamsitahiki Mwenyezi Mungu,na rehma na amani zimuendee Mtume wetu Muhammad,na ahli zake na maswahaba zake wote.
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: “Sema; Enyi watu mlio pewa kitabu (cha Mwenyezi Mungu.Mayahudi na Manaswara)! njooni katika neno lililo sawa baina yetu na baina yenu; ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu,wala tusimshirikishe (Mwenyezi Mungu)na chochote,wala baadhi yetu tusiwafanye wengine kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu (au pamoja na Mwenyezi Mungu).wakikengeuka ,semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni waislamu,(tumenyenyekea amri za Mwenyezi Mungu”
Source: islamhouse.com
: