القائمة الرئيسية
  • plurk
المكتبة الإسلامية الإلكترونية الشاملة
APP
آخر تحديث 9-12-2018
الخميس, 24 أبريل 2025
شوال 26, 1446
عدد الكتب 10372
أكاديمية سبيلي Sabeeli Academy

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA
  • الناشر: islamhouse.com
  • سنة النشر: 2012
  • عدد صفحات الكتاب: 196
  • عدد زيارات الكتاب: 7308
  • عدد تحميل الكتاب: 3656
  • عدد القراءة: 2394

UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA

Shukurani zote zinamsitahiki Mwenyezi Mungu,na rehma na amani zimuendee Mtume wetu Muhammad,na ahli zake na maswahaba zake wote.
Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu: “Sema; Enyi watu mlio pewa kitabu (cha Mwenyezi Mungu.Mayahudi na Manaswara)! njooni katika neno lililo sawa baina yetu na baina yenu; ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu,wala tusimshirikishe (Mwenyezi Mungu)na chochote,wala baadhi yetu tusiwafanye wengine kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu (au pamoja na Mwenyezi Mungu).wakikengeuka ,semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni waislamu,(tumenyenyekea amri za Mwenyezi Mungu”

Source: islamhouse.com

: