القائمة الرئيسية
  • plurk
المكتبة الإسلامية الإلكترونية الشاملة
APP
آخر تحديث 9-12-2018
السبت, 10 مايو 2025
ذو القعدة 12, 1446
عدد الكتب 10372
أكاديمية سبيلي Sabeeli Academy

Ujumbe Mmoja

Ujumbe Mmoja
  • المحقق: Yunus Kanuni Ngenda
  • الناشر: islamhouse.com
  • مترجم الكتاب: Yasini Twaha Hassani
  • سنة النشر: 2016
  • عدد صفحات الكتاب: 15
  • عدد زيارات الكتاب: 6321
  • عدد تحميل الكتاب: 3320
  • عدد القراءة: 2528

Ujumbe Mmoja

Ujumbe Mmoja: Umuhimu wa tawhidi ya kweli na kwamba Mitume wote wa Allah walitumwa kuja kuwafundisha watu tawhidi ya kweli nayo ni kumuabudu Allah peke yake na kujiepusha na shirki.

Baada ya kuumbwa Adam (s.a.w), ujumbe mmoja wamepewa watu karne na karne, kuna umuhimu wa kuwakumbusha watu ujumbe huu na kuwaweka katika njia iliyo nyooka,amewatuma Mwenyezi Mungu mmoja wa kweli Manabii na Mitume kama vile Adam, Nuuh, Ibrahim, Mussa, Issa na Muhammad (s.a.w), ili wafikishe ujumbe mmoja nao ni: (Mungu wa kweli ni mmoja tu muabuduni).

Sourceislamhouse.com

: