القائمة الرئيسية
  • plurk
المكتبة الإسلامية الإلكترونية الشاملة
APP
آخر تحديث 9-12-2018
الجمعة, 09 مايو 2025
ذو القعدة 11, 1446
عدد الكتب 10372
أكاديمية سبيلي Sabeeli Academy

Al-Hijaab

Al-Hijaab
  • الناشر: www.firqatunnajia.com
  • سنة النشر: 2015
  • عدد صفحات الكتاب: 43
  • عدد زيارات الكتاب: 6363
  • عدد تحميل الكتاب: 3032
  • عدد القراءة: 2428

al-Hijaab

al-Hijaab Kitabu hii kinazunguzia hijabu ya muislam sifa zake na hukumu zake Himdi zote ni za Allaah. Tunamhimidi na kumuomba msaada na msamaha. Tunajikinga Kwake kutokana na shari ya nafsi zetu na matendo yetu maovu. Yule mwenye kuongozwa na Allaah, basi hakuna awezae kumpoteza, na yule mwenye kupotezwa na Allaah, basi hakuna awezae kumwongoza. Ninashuhudia ya kwamba hapana mola wa haki isipokuwa Allaah na ninashuhudia ya kwamba Muhammad ni mja na Mtume Wake.
Allaah amswalie yeye, kizazi chake, Maswahabah zake na kila mwenye kuwafuata kwa wema mpaka siku ya Qiyaamah.

Source: islamhouse.com

: